Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Watu wengi wamekimbilia kazi ambazo sio chaguo la maisha yao, bali wamefuata fursa fulani lakini kiukweli sio kazi ya ndoto zao. Cha kufanya fanya bidii juu chini urudi katika ndoto zako. Mwenye masikio na asikie.