WanaJF, mwenye taarifa ya hukumu ya kesi ya kupinga ubunge wa kamanda Lema atujuze, maana leo ndo tar 4/04/2012 na sahizi ni jioni ya saa moja kasoro. Nimeona kimyaa, kimyaa hadi imekuwa kero au hukumu itafanyika usiku? wanaJf wa Ar town vipi? tupeni uptodates, tumechoka na tetesi.