Mpiga kura yeyote katika jimbo husika ana utashi wa kufungua kesi kupinga ubunge; tuachie mahakama iamue kama kweli Lema alitoa matamshi yaliyokuwa na mlengo wa UDHALILISHAJI wa kijinsia hivyo ukaleta ushawishi kwa wapiga kura HIVYO Lema akapata faida dhidi ya wagombea wengine. Kwa mataji huo LEMA kakalia kuti kavu. Suala la Batilda na Lowasa kutofungua kesi halina UZITO.