Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 1,003
- 1,330
hapana nna ka jiko ka umeme apa cna mkaa nimeshamwaga mchele wangu nmepata hasaraunapikia rice kuka?
hapana nna ka jiko ka umeme apa cna mkaa nimeshamwaga mchele wangu nmepata hasaraunapikia rice kuka?
Wapi hukoWamekata sijui saa ngapi? Nimefika saa 1 hivi nikakuta wameshaukata
Pole sana tumia gesihapana nna ka jiko ka umeme apa cna mkaa nimeshamwaga mchele wangu nmepata hasara
Asije akaiva😂Mulemule
Pole sana boss...saa 12 asubuhi tu nilikua nimebakiza kama dk 10 wali uive... Dah wali wangu dah...
haya asante kwa ushauri mkuuPole sana tumia gesi
asante boss nimeshazoea., ndio changamoto za umeme... Si unajua kila kitu hakikosi changamoto...Pole sana boss
Aisee huu ni zaidi ya upumbavu.Nchi imefunguka nadhan mtalishuhdia hili
Inashangaza sana na vijana wengi wamejiajiri kwenye shughuli zinazohusiana na umeme.Aisee huu ni zaidi ya upumbavu.
Wanasema vijana tujiajiri,
Haya sasa , tumejiajiri kuuza barafu
Wanakata umeme.
Hii nchi upumbavu ni mwingi sana, inakera.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hakikaasante boss nimeshazoea., ndio changamoto za umeme... Si unajua kila kitu hakikosi changamoto...
Themi East..Wapi huko
Npo sengerema vijijinMhh mwanza sehemu gani ww jamaaa looohhh
BadoTulikubaliana mpaka MSEME
StationaryInashangaza sana na vijana wengi wamejiajiri kwenye shughuli zinazohusiana na umeme.
Studio/movie library
Vinywaji baridi
Carwash
Welding
Zote hizo mda huu haziingizi chochote lakini TRA watahitaji chaoStationary
Internet cafe
PlayStation
Salon