Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 8,281
- 26,031
Huku Bado upo ila watu washawasha jenereta zao
Waitatue hii changamoto tunaoteseka n sisi wa hali ya chini.Waka yaangaze maisha ya mama yao huko ikulu washenzi sana
😂😂 unalipia cha nini wakati muda upo free na umeme hakuna.Huku tayari umekatika kabla sijaamka huu msimu hata ving'amzi sio vya kulipia maana tv imekuwa pambo la nyumba
😂😂 hali ni tete mishumaa itawashwa sanaUnaweza his watu wapo kwenye tambiko kumbe source ni umeme
View attachment 2762649
Kosa letu wanatuona manyaniHuu utakuwa uchumi wa kukatika 😂
Sasa sisi kosa letu ni nini?
Ndio kujiongeza maana ishafahamika mda wowote wanakataHuku Bado upo ila watu washawasha jenereta zao
Na ndicho wanachokifanyaLabda kuyaangamiza
Hii nchi ina vituko sana yaani wauze umeme zambia wakati hapa ndani bado hali ni mbaya. Alieturoga kafaWakishiba maharage utasikia tutawauzia Umeme Zambia mara Uganda sijui nani aliwaroga badala ya kuzungumzia kutatua matatizo ya Wananchi wao wenyewe wanataka Sifa eti tutauza Umeme kwa bei ipi? Zambia nao watalipia kodi ya Ardhi kwenye umeme wenu? Mzee wa Tozo yupo kimya akiibuka atakuja na kiingereza kipya cha Tozo wapo busy huko kutohoa jina...
Sahizi inauzwa 1000 na mtu kanunua soda anarudisha chupa Ina madowaa ya mshumaa, Sasa kutana na chinga mwenye taa za sola zina sura mbaya bei yake kama upo justfit😂😂 hali ni tete mishumaa itawashwa sana
😂😂 pole mkuu subiri urudi saa 12 jioniTuna vumilia huku, nimenyolewa upande nangoja umeme urudi😂😂
Utaitwa mchocheziKosa letu wanatuona manyani
Kuhoji hali inayoendelea ni uchochezi?swala la umeme watanzania tayari wameelewa wacheni uchochezi usio na tija
Poleni sana angalau tumekuwa wengiWamekata sijui saa ngapi? Nimefika saa 1 hivi nikakuta wameshaukata
Mnafika kipande Cha porini huko....mitaa ya mikumi umeme unakatwaHali ni tete kwa hali hii hiyo treni ya umeme sijui kama itafanya kazi
Ndio maisha kutembelea fursa makampuni ya solar yafyatue bidhaa soko kwa sasa lipo.Sahizi inauzwa 1000 na mtu kanunua soda anarudisha chupa Ina madowaa ya mshumaa, Sasa kutana na chinga mwenye taa za sola zina sura mbaya bei yake kama upo justfit
wazalendo walio wengi nchini wameelewa itoshe kusema hivyoKuhoji hali inayoendelea ni uchochezi?
Wanatutesa sana yaani sanaWaitatue hii changamoto tunaoteseka n sisi wa hali ya chini.
😂😂 unalipia cha nini wakati muda upo free na umeme hakuna.
Unakuwa mtalii wa ndani ghaflaMnafika kipande Cha porini huko....mitaa ya mikumi umeme unakatwa
Sawa mkuu ila hakuna uchochezi wowote hapawazalendo walio wengi nchini wameelewa itoshe kusema hivyo
Mhh mwanza sehemu gani ww jamaaa looohhhNashukuru huku kwetu mwanza tuna wiki mbili sasa umeme haujakatika hadi nashangaa