Huku ni kuharibiana maisha

Huku ni kuharibiana maisha

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,214
Reaction score
20,988
Nina mwaka wa nne sasa huku Zanzibar ila kuna kitu kinanisikitisha sana. Katika misele yangu kama kijana nimeshuhudia kiwango kubwa sana cha mabinti wenye umri mdogo wakiwa wameachika mbaya zaidi unakuta ashazalishwa watoto 2,3 etc.Kwa uzoefu wangu mdogo mabinti kama hawa kuja kupata mume tena inakuwaga ni ngumu sana na mwishowe huishia kutangatanga kila mahali.
 
Sasa tuwashauri wafanyeje..........?.......
 
Sasa alieharibu maisha ya mwingine ni yupi hapo?
 
This is a serious matter jamani acheni kujadili kwa mzaha.

Ni kweli kuwa katika maeneo mengi ya mwambao wa pwani kuna hili tatizo. Mabinti kuolewa mapema na kuachwa wakiwa na watoto.

Tatizo kubwa hapa ni vijana wa kiume kutokuwa na malengo na msimamo. Pamoja na kwamba dini yao inaruhusu kutoa talaka, lakini sidhani kami talaka hizi zinatolewa katika misingi ya dini na haki.

Hivyo ni jukumu la masheikh na serikali kuelimisha jamii hizi
 
Sasa binti uzae watoto wengi kwa kipato gan hasa cha mmeo. Mambo mengine wadada wajiongeze na watadhimn sio kufanya out of impulse.

Hata ukiolewa na tajiri, zaa mmoja kutoa fitina haf angalia huyo mmoja mnamudu. Mwenzio ana jua majukumu yake na mnawezana. Ukiona chenga mwambie utulize mhemko angoje mtt awe at least darasa la 5 hv, akivumilia had hapo mzalie na mwingne
 
This is a serious matter jamani acheni kujadili kwa mzaha.

Ni kweli kuwa katika maeneo mengi ya mwambao wa pwani kuna hili tatizo. Mabinti kuolewa mapema na kuachwa wakiwa na watoto.

Tatizo kubwa hapa ni vijana wa kiume kutokuwa na malengo na msimamo. Pamoja na kwamba dini yao inaruhusu kutoa talaka, lakini sidhani kami talaka hizi zinatolewa katika misingi ya dini na haki.

Hivyo ni jukumu la masheikh na serikali kuelimisha jamii hizi

Umejuaje kuwa tatizo ni vijana???
 
Sasa alieharibu maisha ya mwingine ni yupi hapo?

Mwanaume ndo anaharibu kwa sababu yy anauweza wa kutafuta mwingine ila kwa msichana inakuwa ngumu mbaya zaidi unakuta binti anaachiwa hadi watoto.
 
Elimu ya ndoa inapaswa kuwafikia wahusika
 
Ndio maana Yesu alisema talaka iwe tu pale mnapokamatwa mkizini
 
Back
Top Bottom