Huku ni kuharibiana maisha

Huku ni kuharibiana maisha

Namini kabisa hii inapelekea watoto wengi kukosa malezi bora.

Ni kwel mkuu unakuta binti mdogo keshazalishwa watoto wa3 akishapewa talaka na watoto anaachiwa unategemea atawalea vp ukizangatia familia anayotoka pia haijiwez kiuchumi
 
Ni maeneo gani? Mwanakwerekwe au Fuoni? Au bububu karibu na Nungwi?
 
HEBU TAJA maeneo gani hapa zanzibar ambapo hii tabia imekithiri ili nijiridhishe
 
Nina mwaka wa nne sasa huku Zanzibar ila kuna kitu kinanisikitisha sana. Katika misele yangu kama kijana nimeshuhudia kiwango kubwa sana cha mabinti wenye umri mdogo wakiwa wameachika mbaya zaidi unakuta ashazalishwa watoto 2,3 etc.Kwa uzoefu wangu mdogo mabinti kama hawa kuja kupata mume tena inakuwaga ni ngumu sana na mwishowe huishia kutangatanga kila mahali.

Ndoa za uji... lile lingine la kukalia laitwaje ni zulia ama? ....... eeeewaaa kumbe wafahamu jina lake sasa wadhani ndoa za hivyoo zaeza dumu?

nanyi watoto wakikee mkiingia sio mwabeba mimba hapo hapoo vuta subra kwanza soma ramani ukiona marinjirinjiii unaweka chengaaa chengaa unang'oa nangaa. kwani nini!
 
Nina mwaka wa nne sasa huku Zanzibar ila kuna kitu kinanisikitisha sana. Katika misele yangu kama kijana nimeshuhudia kiwango kubwa sana cha mabinti wenye umri mdogo wakiwa wameachika mbaya zaidi unakuta ashazalishwa watoto 2,3 etc.Kwa uzoefu wangu mdogo mabinti kama hawa kuja kupata mume tena inakuwaga ni ngumu sana na mwishowe huishia kutangatanga kila mahali.

Dini inaruhusu talaka shekhe
 
Back
Top Bottom