Venant Ben
Senior Member
- Nov 29, 2010
- 155
- 10
duh.. hili ni balaa, huyo jamaa wa juu inaonekana hali ni mbaya tayari maana keshasahau kuwa wanacheza music kalegea mbaya.. teh.. teh...teh..., heeeh!!! huyo jamaa wa picha ya chini ni kama kafumaniwa na demu wake nyuma mbona anamdunda mgongoni!!! toooobaa...
Raha za mjini,tutafanyaje bana...,sawa tu.
safi sana kuburudika kwa hivi, ukirudi home ukilala unaamka akili iko safiiiii tayari kufanyakazi