Huku ni kuachana au bdo tunapendana

Huku ni kuachana au bdo tunapendana

Yuwiii kwa hiyo dada anataka kuunganisha kikojoleo na kaka?
 
akikupigia unapokea??
rudianeni tu
mnapendana nyie
 
Umeona eehh...Dada achana na huyo hana mpango...utazeeka unamsubiri kuwa labda atakurudia wakati wanaume wako kibao...funguka angalia ustaharabu mwingine...

Kwanza sijapenda neno alilotumia...'matapishi' nani matapishi sasa?

Huyo anataka uwe wa pembeni...usipokuwa makini utatumiwa wewe afu atakuacha kwenye mataa na utakuwa huna wa kumlaumu kwa kuwa alishakukanya kuwa wewe ni matapishi.

Kama alikuona mzuri jua wapo kama 10 ambao pia watakuona mzuri...lakini huwezi kuwaona kama bado unaendelea kuchat na hicho kiwingu. Tena wamemzidi yeye kwa vigezo vyote...

Kwangu mimi, being in couple is the highest form of relationship that a man and a woman can attain. Uhusiano ukivunjika, ndio mwisho wa kila kitu. Binafsi huwa sitaki tena habari na ma-Ex wangu. Labda kama mna watoto I can understand, ila vinginevyo kuna biashara gani tena.
 
Asitake tuamini kuwa ndio wale ambao 'aachwi mtu' mtu ana move on huku anaendelea kukumbushia kwa wote waliotangulia...itakuwa hatareee...

Ex wangu kabla ya hubby wala sijuhi yuko wapi anafanya nini na wala sitaki kujua...what for???? eti just friends...just dada????


Kwa hiyo na wewe ukipigiwa saa tisa usiku unapokea?

Huna mipaka wewe?
 
Asitake tuamini kuwa ndio wale ambao 'aachwi mtu' mtu ana move on huku anaendelea kukumbushia kwa wote waliotangulia...itakuwa hatareee...

Ex wangu kabla ya hubby wala sijuhi yuko wapi anafanya nini na wala sitaki kujua...what for???? eti just friends...just dada????
huyu binti anampenda huyo mwanaume ndo maana anaentartain ujinga...

Si unaona kasema yeye ndo alikuwa msichana ea kwanza wa mwanaume?
Kama vile alikuwa na kipima bikira akaprove yeye ndo wa kwanza

Na hata kama alikuwa wa kwanza so what? There's a firts time for everything, hiyo sio issue

Binti hana msimamo na hajielewi ndo maana mwanaume anamzingua
 
Kwangu mimi, being in couple is the highest form of relationship that a man and a woman can attain. Uhusiano ukivunjika, ndio mwisho wa kila kitu. Binafsi huwa sitaki tena habari na ma-Ex wangu. Labda kama mna watoto I can understand, ila vinginevyo kuna biashara gani tena.

asante sana nashukuru
 
Umeona eehh...Dada achana na huyo hana mpango...utazeeka unamsubiri kuwa labda atakurudia wakati wanaume wako kibao...funguka angalia ustaharabu mwingine...

Kwanza sijapenda neno alilotumia...'matapishi' nani matapishi sasa?

Huyo anataka uwe wa pembeni...usipokuwa makini utatumiwa wewe afu atakuacha kwenye mataa na utakuwa huna wa kumlaumu kwa kuwa alishakukanya kuwa wewe ni matapishi.

Kama alikuona mzuri jua wapo kama 10 ambao pia watakuona mzuri...lakini huwezi kuwaona kama bado unaendelea kuchat na hicho kiwingu. Tena wamemzidi yeye kwa vigezo vyote...

asante sana umenipa nguvu nashukuru
 
Asitake tuamini kuwa ndio wale ambao 'aachwi mtu' mtu ana move on huku anaendelea kukumbushia kwa wote waliotangulia...itakuwa hatareee...

Ex wangu kabla ya hubby wala sijuhi yuko wapi anafanya nini na wala sitaki kujua...what for???? eti just friends...just dada????

asante sana nyumba kubwa nashukuru kumbe inawezekana.kuanza upya na kumpata aliyesahihi nashukuru.ubarikiwe
 
Hata wewe bado unampenda. Ushahidi ni huu uzi. Imekuaje ukamfikiria?. Mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom