Huku ni kuachana au bdo tunapendana

Huku ni kuachana au bdo tunapendana

leez salu

Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
35
Reaction score
8
Mimi ni msichana.Nilikuwa na mpenzi wangu tumedumu mda mrefu lakini kwa mipango ya mungu tumeachana.tatizo ni kaomba tuwe kaka na dada.ananipigia simu saa 9 usiku.anantumia ujumbe wa mapenzi simuelewi.wakati tunaachana alisema wazi siwezi kurudia matapishi.basi nkaendelea na maisha yangu.lakini ndo hivyo kila saa dada mzima shemeji ajambo.yaani simuelewi.mimi ndo msichana wake wa kwanza ndo nilimfundisha mapenzi.
 
Asa hapo huelewi nini ameshakuwa dada anampenda mdogo ake lazima amjulie hali,
 
Nilikuwa na mpenzi wangu tumedumu mda mrefu lakini kwa mipango ya mungu tumeachana.tatizo ni kaomba tuwe kaka na dada.ananipigia simu saa 9 usiku.anantumia ujumbe wa mapenzi simuelewi.wakati tunaachana alisema wazi siwezi kurudia matapishi.basi nkaendelea na maisha yangu.lakini ndo hivyo kila saa dada mzima shemeji ajambo.yaani simuelewi.

poleni sana ndo maana kuna kale kausemi kanasema kua uyaone
 
Nilikuwa na mpenzi wangu tumedumu mda mrefu lakini kwa mipango ya mungu tumeachana.tatizo ni kaomba tuwe kaka na dada.ananipigia simu saa 9 usiku.anantumia ujumbe wa mapenzi simuelewi.wakati tunaachana alisema wazi siwezi kurudia matapishi.basi nkaendelea na maisha yangu.lakini ndo hivyo kila saa dada mzima shemeji ajambo.yaani simuelewi.

Huyo mdada ana sababu 2.
1.Eidha humlzsh.
2.Kuna m2 anampa v2 muhm sana kama fedha nk.
Hii ni kawaida,hata mi pia nna mdada wa hv.
Alikuwaga, akaniomba 2achane ila 2na chart,2natoka out,anantembelea ghtto ila hatak nim-do.
Kabla nlidhan hana hica-labda kakeketwa,badae nikagundua ana mbaba anampa mahela balaa.
Mi nafaid tu hela sasa hv,juz 2 kannunulia bonge la zawad,inafka 80,000.
Ndo hvo.
 
Huyo mdada ana sababu 2.
1.Eidha humlzsh.
2.Kuna m2 anampa v2 muhm sana kama fedha nk.
Hii ni kawaida,hata mi pia nna mdada wa hv.
Alikuwaga, akaniomba 2achane ila 2na chart,2natoka out,anantembelea ghtto ila hatak nim-do.
Kabla nlidhan hana hica-labda kakeketwa,badae nikagundua ana mbaba anampa mahela balaa.
Mi nafaid tu hela sasa hv,juz 2 kannunulia bonge la zawad,inafka 80,000.
Ndo hvo.

Ha ha haaa sasa we hapo si ndio ushakuwa Mali o?
 
Nipe namba yake nmchane live nmwambie unavyomfanyia yule kijana sio vizuri,don't disturb him come on....!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hebu Jaribu Kumuomba Game Tuone Atasemaje Kisha Lete Feedback
 
ametafuta mtu wa kumuweka katika nafasi yako amekosa so ameamua kurudisha majeshi taratibu.
 
Kwangu mimi, being in couple is the highest form of relationship that a man and a woman can attain. Uhusiano ukivunjika, ndio mwisho wa kila kitu. Binafsi huwa sitaki tena habari na ma-Ex wangu. Labda kama mna watoto I can understand, ila vinginevyo kuna biashara gani tena.
 
aah, mpotezee ucjibu sms wala ucpokee cm,km ataendelea kukusumbua basi staki nataka
 
Kwangu mimi, being in couple is the highest form of relationship that a man and a woman can attain. Uhusiano ukivunjika, ndio mwisho wa kila kitu. Binafsi huwa sitaki tena habari na ma-Ex wangu. Labda kama mna watoto I can understand, ila vinginevyo kuna biashara gani tena.

hapo umenena..
 
... dah! hivi wapenzi wanapigiana simu saa 9 e! Kweli nimezeeka..... i love my bed eksee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom