Huku ndio kumpendeza Mungu?

Huku ndio kumpendeza Mungu?

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
12,212
Reaction score
17,005
Habari WanaJF

Napenda kuwasilisha mada kama kichwa kinavyosema, nilikuwa mfanyakazi wa kampuni fUlani, ilipofika mwaka 2013. Mambo yaliharibika maana nilifukuzwa kazi. Lakini cha kushangaza ninao rafiki zangu walikuwa wafanyabiashara wakubwa, kipindi cha awamu ya 5 walipata misukosuko hadi biashara zao kukata.

Cha kushangaza pamoja na kujua nina hali mbaya wao wananiona nina pesa kutwa kwangu kulialia, wakati hapa nilipo hata mke alinikimbia naona alifuata pesa. Wao bado wanaishi na wake zao. Hii ndio nini?
 
pole mkuu ni changamoto tu za maisha... turudi kwenye kichwa cha habari ulimpendezaje Mungu?
Nimeuliza swali kwa huku ndio kumpendezavMungu,maana hawa jamaa zangu wanajua mimi pia choka mbaya!Lakini wananitwisha mzigo mara sijala,mara nauli ya daladala,wakati mimi najiona ndio mnyonge nimekimbiwa hadi na mke,wao bado wako na wake zao!
 
Back
Top Bottom