Huku Kimenuka siyo poa

Huku Kimenuka siyo poa

Labda mnaandamana wewe na walala njaa wenzako mkiwa mmebeba mibakuli baada kuitwa mkapewe msosi wa kujikimu kwa leo tu
 
Wakati mwingine tunaiita kwa kiingereza yaani 'pork ' ili watu wasielewe tunazungumzia nini.
Shehe wa BAKWATA akina
Ertugul
HAYA LAND PhD
Lucha
Saiv wamevimbiwa Kwa kula mbuzi katoliki, wanahitaji wanaume wakatoliki tukaandamane nyuma yao
 
Yaani huko space na X mpaka trafiki wameingilia kati barabara zimejaa mno nyumbu
Wadau mda huu huku kimenuka maandamano ni makubwa sana

More News to follow:

Guys ,stop mockin' around.

M029 imetoa funzo kwa Watawala na Gen Z.

Watawala wamejua jinsi gani ya kuyakabili maandamano na Gen Z wamejifunza ni muda gani sahihi wa kufanya maandamano bila kuleta madhara....So kwasasa ni mwendo wa kutafuta loopholes...tusiwabeze Gen Z.
 
Back
Top Bottom