nadhani hakuna asiyefahamu kuwa sasa waislam wanapigana kulipinga kwa kile walichofanyiwa ktk somo la islamic knowledge,hivyo kufikia uamuzi kutofanya mtihani mpaka livunjwe,mimi cdhani km hii ni haki kwani hawapaswi kusahisha mitihani kwa mujibu wa dini ya mtu
nadhani hakuna asiyefahamu kuwa sasa waislam wanapigana kulipinga kwa kile walichofanyiwa ktk somo la islamic knowledge,hivyo kufikia uamuzi kutofanya mtihani mpaka livunjwe,mimi cdhani km hii ni haki kwani hawapaswi kusahisha mitihani kwa mujibu wa dini ya mtu
umejitahid sana kufafanua bt umeshindwa kuilewa ishu mzima jinsi ilivyo,ni hivi matokeo yaliyotangazwa ni tofauti na matokeo halisi na imegundulika baada ya wahusika kukuwa na imani na matokeo na kuiandikia barua necta na kukiri kosa baada ya uchunguz na kutoa matokeo mengine ambayo ni mazuri tofauti na mwanzo kuumfukuza kazi msimamiz kuyaingiza kwenye kompyuta, lakini waislamu wanahoji kwa nini iwe islamic na sio masomo mengine? tatizo ni hilo na siyo uliyoelezea.
umejitahid sana kufafanua bt umeshindwa kuilewa ishu mzima jinsi ilivyo,ni hivi matokeo yaliyotangazwa ni tofauti na matokeo halisi na imegundulika baada ya wahusika kukuwa na imani na matokeo na kuiandikia barua necta na kukiri kosa baada ya uchunguz na kutoa matokeo mengine ambayo ni mazuri tofauti na mwanzo kuumfukuza kazi msimamiz kuyaingiza kwenye kompyuta, lakini waislamu wanahoji kwa nini iwe islamic na sio masomo mengine? tatizo ni hilo na siyo uliyoelezea.
"Baada ya kupitia hatua za uhakiki kuhusu usahihishaji na utoaji wa matokeo, ilibainika kuwa alama za mwisho katika somo la Islamic Knowledge zilizokokotolewa na Mfumo wa Kompyuta ZILITOFAUTIANA na alama zilizopatikana kwa kutumia kikokotozi. Uchunguzi zaidi uliofanyika kwa lengo la kubaini chanzo cha tatizo katika uchakataji wa matokeo hayo
kwenye Mfumo wa Kompyuta ulionesha kuwa uchakataji uliotumika awali kutoa matokeo ya mwaka 2012 ulitumia jumla ya "Paper" tatu kama ilivyokuwa mwaka 2011.
"Kutokana na mabadiliko ya Fomati ya Mtihani wa somo la Islamic Knowledge yaliyoanza kutumika rasmi katika Mtihani wa Kidato cha Sita 2012, mtihani huo kwa sasa una "paper" mbili na siyo "paper" tatu. Hivyo, tofauti ya alama iliyobainika imetokana na Mfumo wa Kompyuta kuendelea kutumia "paper" tatu katika kupata wastani wa alama za mwisho badala ya kutumia "paper" mbili."
Viongozi wa Baraza la Wakuu wa Shule za Kiislamu waliridhika na hatua zilizochukuliwa na Wizara na wameandika barua ya kuishukuru Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhusu namna walivyoshughulikia malalamiko yao.
Wewe mzushi.umuhimu upo kwani kwa taarifa nilizopata hata hayo matokeo yaliyotolewa kwa mara ya pili cyo sahihi na haijulikani yametolewa wapi
Viongozi wa Baraza la Wakuu wa Shule za Kiislamu waliridhika na hatua zilizochukuliwa na Wizara na wameandika barua ya kuishukuru Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhusu namna walivyoshughulikia malalamiko yao.
na ile bible knowledge in a faida gani, think twice!Naomba nikuulize,
Je Islamic Knowledge ina mchango gani katika career za wanafunzi? Je inachangia vipi katika kuendelea kusoma masomo ya mbele.
Inasaidia kuleta viongozi bora na sio mafisadi?Naomba nikuulize,
Je Islamic Knowledge ina mchango gani katika career za wanafunzi? Je inachangia vipi katika kuendelea kusoma masomo ya mbele.