Hujuma Pantoni za Kigamboni

Kufeni tu watu wa Dar na ccm au pigeni mbizi
 

Ungekuwa unaishi Kigamboni hayo maswali wala usingeuliza lakini watumiaji wameona hali halisi na tumeomba hata Mbunge kama hajui ama haoni nae aingilie kati

Picha tu wanakataa usipige sembuse logistics zao za mafuta . Sisi tunawaona wanavyoyauza wakifika ng'ambo moja kutoka ingine

Kero ni pamoja na kutembea slowly kwani kama una dharula ya mgonjwa una mpeleka hosp inakuwa ni mtihani sanaaa.

Sasa wakishayaiba hayo mafuta maana yake trips zao za ofisi against matumizi ya engine ndio wanafidia kwa kutupeleka slowly
 
Hata kama yanakidhi idadi mkuu yamefungwa na kufuli na funguo zinabaki ofisin na ni chuma tupu unategemea tutatoka ikitokea bahat mbaya

Halafu unakuta mengine yametobolewa na panya, wanashindwa hata kubuni sehemu za kuweka life jacket ambapo panya hawezi kuingia. Mfano kujenga kwa kutumia wavu mkubwa kama ilivyo sasa na kuongezea wavu mdogo au kuweka vioo kwa ndani ya wavu.
 
Yah atleast wangeweka vioo vya plastick vidogo ingekua kama likitokea unabomoa unatoka
 
Halafu kwa ajili ya joto ksli wakati wa msongamano ndni ya banda la kusubiria wameweka feni, mimi nadhani wangeweka 'roof ridges ventilators' ndio zinafanya kazi vizuri kuliko hizo feni.

Pia ndugu zangu hawa wangefikiria juu ya uwezekano wa kuongeza milango ya kutokea kwenye banda kwavile abiria huwa ni wengi sana na husongamana mno wakati wa kutoka ili kwenda kwenye pantoni.
 

Umenikumbusha kauli ya profesa mmoja hivi juu ya uwekezaji!
 
Last edited by a moderator:
Duuh... nimezimia !! nilipozinduka Nikapigwa na mduaoo!! nashukuru sijafaa!!
Ahante muungwana !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…