With all due respect. wewe ni mtuhumiwa namba tatu baada ya CCM na Makampuni ya simu
Nimesikitishwa sana na CCM pamoja na makampuni ya Simu kutuibia!
wao ni watawala! hiyo siku 31 ni kwa wewe msomi unasema ngoja ifike ufanye kweli lkn kijijini wanasema ngoja ifike jamaa amalizie sehemu yake ya mwisho,Duh! Tumekwisha. hivi sisiem kwa nini wanatufanyia umafia jamani? Wao ni nani katika nchi hii? Ngoja tutakutana tarehe 31 okt.