hujui kitu muhimu kwako mpaka

tz1

JF-Expert Member
Mar 19, 2011
2,122
534
tuna kumis,tunajua unaumwa.
tumejua umuhimu kwetu na tuna omba kukusaidia matibabu.
nipo tiyari kukuchangia kwenda india kwa matibabu.
nielekeze wapi nitume mchango.
na a hidi kuchangia sh 10,000.
huu si utani ni wakati wa kuelewa umuhimu wa jf.
unapata habari na vitu vingi bila kulipia.
long live jf
 
Mkuu umenena ila kiasi unachochanga haliendani na tatizo la mgojwa kweli atafika india huyu???
 
Mkuu umenena ila kiasi unachochanga haliendani na tatizo la mgojwa kweli atafika india huyu???
Hii ni harambee,tukidhubutu tutaweza kumpeleka mgonjwa india.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom