tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,122
- 534
tuna kumis,tunajua unaumwa.
tumejua umuhimu kwetu na tuna omba kukusaidia matibabu.
nipo tiyari kukuchangia kwenda india kwa matibabu.
nielekeze wapi nitume mchango.
na a hidi kuchangia sh 10,000.
huu si utani ni wakati wa kuelewa umuhimu wa jf.
unapata habari na vitu vingi bila kulipia.
long live jf
tumejua umuhimu kwetu na tuna omba kukusaidia matibabu.
nipo tiyari kukuchangia kwenda india kwa matibabu.
nielekeze wapi nitume mchango.
na a hidi kuchangia sh 10,000.
huu si utani ni wakati wa kuelewa umuhimu wa jf.
unapata habari na vitu vingi bila kulipia.
long live jf