uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,350
- 1,098
Hello guys i admired these people a lot respects to them, it is never to late to live your dream
1. katika umri wa miaka 41 christopher columbus alivumbua marekani
2. katika umri wa miaka 44 Marie curie alitunukiwa tuzo la nobel katika chemistry
3. katika umri wa miaka 49 Mario puzo alichapisha kitabu chake pendwa duniani ,the godfather
4. katika umri wa miaka 55 Alex hailey alichapisha kitabu chake chenye mvuto ,the root
5. katika umri wa miaka 59 Clara barton alianzisha RED CROSS
6. katika umri wa miaka 63 Francis galton alidhihirishia dunia hakuna watu wawili wenye fingerprints zinazzofanana( he revolutionized crime fighting in the process)
7. katika umri wa miaka 64 Oscar swahn alishinda medali ya dhahabu , in shooting
8. katika umri wa miaka 69 Mother Theresa alitunukiwa Noble peace prize
9. katika umri wa miaka 72 Atal bihari vajpayee amekuwa prime minister wa india
10. katika umri wa miaka 94 Leopold stokowski alisaini mkataba mpya wa kupiga music
11. katika umri wa miaka 100 Ichijirou Araya alipanda mlima Evarest
1. katika umri wa miaka 41 christopher columbus alivumbua marekani
2. katika umri wa miaka 44 Marie curie alitunukiwa tuzo la nobel katika chemistry
3. katika umri wa miaka 49 Mario puzo alichapisha kitabu chake pendwa duniani ,the godfather
4. katika umri wa miaka 55 Alex hailey alichapisha kitabu chake chenye mvuto ,the root
5. katika umri wa miaka 59 Clara barton alianzisha RED CROSS
6. katika umri wa miaka 63 Francis galton alidhihirishia dunia hakuna watu wawili wenye fingerprints zinazzofanana( he revolutionized crime fighting in the process)
7. katika umri wa miaka 64 Oscar swahn alishinda medali ya dhahabu , in shooting
8. katika umri wa miaka 69 Mother Theresa alitunukiwa Noble peace prize
9. katika umri wa miaka 72 Atal bihari vajpayee amekuwa prime minister wa india
10. katika umri wa miaka 94 Leopold stokowski alisaini mkataba mpya wa kupiga music
11. katika umri wa miaka 100 Ichijirou Araya alipanda mlima Evarest