Jamani wana jamvi naombeni mnisaidie, mtu yeyote anayeifahamu hii kampuni ya hugo domingo naomba mnisaidie kunijuza kuhusu hii kampuni haswa kuhusu mishahara yao iko vipi?? Kuhusu security ya kazi hapo kwenye kampuni ??? na wako hapa mjini wana muda gani, wamiliki wa hii kampuni waki nani?? na mengine naombeni kunijuza katika kuhusu hiyo kampuni.