Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,772
- 54,017
- Thread starter
- #41
Nasikia lili ishaHivi bifu lao na ulamaah aka solo thang liliisha?
Nasikia lili ishaHivi bifu lao na ulamaah aka solo thang liliisha?
Yap, mwanae si kamaliza chuo??Baba Tunda
Yap, mwanae si kamaliza chuo??
Ni kweli, ila mtazamo ndo wali tems madini yenye ujazoIla ule wimbo wake Heshima ft Cheleaman noa madini sana
Pamoja sanaAsante kwa uchambuzi mzuri.
Mtazamo nafikiri ndio best hiphop collabo of all timesNi kweli, ila mtazamo ndo wali tems madini yenye ujazo
Nipo naisikilizia hapa bro, haiboi haipoi.Mtazamo nafikiri ndio best hiphop collabo of all times
Sasa watoto wadogo Wana jiita wamakamo,Mtazamo nafikiri ndio best hiphop collabo of all times
Sema ni Mwandishi mzuri, hata hao Jay na sugu Wana mkubali mchizi.Sele alipo anza kuwadiss Sugu na Prof Jay nikamvua vyeo vyote siku hizi simusikilizi kabisa
Main target alikuwa bwana misosi wala sio GK maana misosi alijichanganya kwenye ule wimbo akamdiss mtu mmoja tu tena yule ambae alimshika mkono Afande kwenye gem had akatoka sikiliza tena ngoma ya nitoke vipi utasikia kuna mtu mmoja amedisiwa mle.Yap, na hata nitoke vipi ya bwana misosi Ina leta utata pia
Pamoja sana mkuuUmeandika vizuri sana mkubwa,sisi wengine wakati wa mfalme wa rhymes tulikuwa wadogo sana atleast leo nimepata picha kiasi.SHUKRANI SANA
Kwani kuna rasta asiyevuta bangi???Hivi kwa kumuangalia tu si unajua kabisa yule ni mvuta bangi