Uchaguzi 2020 Huenda Askofu Gwajima akawa ni msaada mkubwa kwa nchi yetu

Atakuwa anafufua wabunge wakifa!!!?? Si ana danganya anafufua watu?

Nchi watu wenye akili wanaisha I see, Gwajima ni tapeli kabisa!
 

Hongera sana! Naona wewe umechungulia fursa ya kwenda Birmingham Marekani tu sio kitu kingine! Nyau wewe
 
Nyie mnaomtetea gwajima mbona hata kuandika kwenu mnaonekana nyie ni matapeli wenzake?
nani alikuambieni kuwa gwajima ni mtumishi wa Mungu? ( labda awe 'mumgu' mwingine)
 
Hana msaada wowote,sanasana Kama una dada yako mpelekee anaweza kuwa shemeji yako hamtakosa ya mboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…