Huduma za Mabati,kupaua na Elimu

Huduma za Mabati,kupaua na Elimu

uta

Member
Joined
May 1, 2012
Posts
54
Reaction score
24
......... JMK ROYAL SERVICES........

Kutokana na kubadilika kwa mfumo na kuwa na team kubwa na mgawanyiko wa majukumu tunapenda kuwayaarifu kuwa tutawahudumia wateja OFISINI KWETU MIKOCHENI PEMBENI YA MAYFAIR PLAZA

Ili kuonesha kuwa seroius kufanya kazi na sisi tutanza kucharge huduma kwa wale wateja wa simu zisizo na mipaka,ila hizo gharama zitarudi kama utafanya biashara na sisi?

1.Kupata quotation na Proforma ya bati tunazouza kama ma agent ya viwanda zaid ya vitatu utakutosha kufanya maamuzi,elimu utayoitaji kwa ajili yakupanua uelewa wako wakati wa ununuzi wa Bati utalipia TZS 10,000/= kwanza

2.Makadirio ya idadi ya bati kwa aina ya bati na mbao ukituma ramani 20,000/=

3.Makadirio ya Fundi kuja Kufanya Tathimini site ya mbao na Bati 30,000/=

5.Gharama za fundi kupaua itategemeana na ukubwa wa kazi

Aina zote za mabati,misumali ,valley na gutter,na usafirishaji.

Viwanda vya Sunshare,quansheing,anxifa, na Alaf

Call us. 0656-816616,0766-004940
Zinatumika kwa Tigopesa na Mpesa
FB_IMG_1542698860579.jpeg
FB_IMG_1542698865218.jpeg
FB_IMG_1542698856679.jpeg
FB_IMG_1542698854274.jpeg
FB_IMG_1542698852320.jpeg
FB_IMG_1542698849986.jpeg
FB_IMG_1542698847602.jpeg
FB_IMG_1542698845021.jpeg
FB_IMG_1542698842741.jpeg
FB_IMG_1542698834995.jpeg
FB_IMG_1542698863031.jpeg
FB_IMG_1542701250440.jpeg
 
Back
Top Bottom