asante wana JF,
Leo nimewasiliana nao,wana customer care nzuri hasa huyu jamaa anaitwa Ann Wairimu.
Simu yao ni 0767 09579
Data recovery Tanzania. Software, Services and Solutions (+254) 020 3751400/02
Safi sana kwa ufuatiliaji.
Ungemsikiliza Fatma hapo juu wala usingefanikiwa kuwapata.
Wakishakusaidia tujulishe na sisi
huduma inahusiana na kuokoa documents kutoka kwenye hard disc iliyoharibika(physically damage).Anayefahamu zinapotolewa huduma hizi anifahamishe