inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,740
- 22,490
akikupa nipasie na mimi,manake nimetafuta wa kuoa naona mikosi tu,mara mchawi,mara teja,mara familia yake imemkataza kubadili dini,wa mwisho family haitaki kisa mi muha yeye mwarabu,juhud zangu zimefika mwisho kilichobaki niwagonge tuBado mkuu....sijaiona, embu tuma tena.
Usiwe na shaka mkuu...keep waiting.akikupa nipasie na mimi,manake nimetafuta wa kuoa naona mikosi tu,mara mchawi,mara teja,mara familia yake imemkataza kubadili dini,wa mwisho family haitaki kisa mi muha yeye mwarabu,juhud zangu zimefika mwisho kilichobaki niwagonge tu
Hahahhaahaa Cost-Benefit analysis hio inaitwaMkuu, tuma faster maana hata mimi huduma hii ya vyangudoa inanikonga nyoyo mno. Ni bora kuwa na changudoa wa barabani kuliko "changudoa" wa mtaani. Gharama zinapungua big time.
Bado ipo hai!! Hili nalo ni fumbo! 2017 leo! Anza kukemea upya!Nikiwa Kama Mchungaji, Namkea Mtoa Post,na Iyo Mada Naifuta Kwa Damu Ya Yesu, Ninaua roho Ya Uzinzi Ilyo Kwny Mada Kwa Jina La Yesu Kristo.
Bia na sigara ndiyo chanzo kikuu cha mapato na engine ya bajeti!! Iambie serikali isikusanye huko tuone!Wewe endelea kujiuza tu huku ukisubiri nguruwe awe safi kwa muislam. Serikali haihitaji pesa haramu ili kuwalipa mishahara watumishi wake ambao wengi wao ni wacha-Mungu.
Huo ushoga na ukahaba wako ndio ulipelekea nchi za sodoma na ghomora kushushiwa laana iliyosababisha maangamizi.
Ninyi ndio HIV+ mnaotafuta wa kuwaambukiza, hivyo mnataka mmpewe uhalali ili muendelee kuwasambazia wengine.
Haiingii akilini eti ukahaba uhalaishwe kwa kuwa tu bado unafanyika! Kama ndivyo, je hata biashara ya madawa ya kulevya ihalalishwe kwa sababu watu bado wanaifanya kwa kificho?
Hahahaaaa.. Pastor uchwara huyo...Bado ipo hai!! Hili nalo ni fumbo! 2017 leo! Anza kukemea upya!
Huyu hata akiambukiza nchi nzima poa tu
Hebu nitumie na mm pmDah ngoja nikutumie kwenye Pm kama uko serious ila yeye unalipia chumba kwanza kama utatumia chumba chake, amepanga Guest moja nzuri tu maeneo ya Mabibo. Yuko vizuri kwa kweli ila huwa akilewa anafanya mambo ya kijinga kidogo. Anaitwa Jack
Leo?Leo ndyo umeongea kitu cha maana toka uzaliwe mkuu hongera
Sina uhakika mkuuAiseeeeh.
Hivi huyo, msichana ni Dali Kimoko !?
Ngoja waje. Ila njia rahisi ya kufika usipopafahamu ni kiuchukua usafiri wa tax au bodaboda mwambie akupeleke.Wakuu kwanini msinipe ramani ya kona baa mana kila siku ninapopata simulizi za mbunye za kona baa, nasikia damu yangu inachemka. Fanya hisani mnijaalie ramani ya mahali hapo nitie timu leo wakuu.
Mkuu kona bar siilifungiwaNgoja waje. Ila njia rahisi ya kufika usipopafahamu ni kiuchukua usafiri wa tax au bodaboda mwambie akupeleke.
Asante kwa kunipa njia mbadala mkuu.Ngoja waje. Ila njia rahisi ya kufika usipopafahamu ni kiuchukua usafiri wa tax au bodaboda mwambie akupeleke.