Njowepo, hapa unampigia mbuzi gitaa ... yani hawajui kabisa wala hayawahusu .. wao ni nje nje na wao kwanzia baba mama na watoto wote wanatibiwa nje.
kwenye mawodi ndiyo usiseme watu wanarundikana watatu mpaka wanne kwenye kitanda kimoja isitoshe wote wanakuwa na maradhi tofauti ...