Unistall hyo iliyopo alf download nyingine alf Ujisajili upya.
Kwa maneno mengine, delete hiyo unayoambiwa ulipie then anza download nyingine kama ulivyo-download hiyo unayoambiwa ulipie.
Ingawa najua umepata mwanga labda niongeze haya yafuatayo na fuata maelekezo haya: Unaweza kununua hiyo app kama una bank account au namna nyingine yoyote ambayo inaweza kukuruhusu kununua online.Habari zenyu wakubwa!!
Samahani.....kwa anaye fahamu anijuze hii huduma ya WHATSAPP inalipwa wapi??????
Wamenifungia hii huduma mpaka niilipie,,,,,ni wapi niende nikalipie,,??nifahamisheni tafadhali!!
Habari zenyu wakubwa!!
Samahani.....kwa anaye fahamu anijuze hii huduma ya WHATSAPP inalipwa wapi??????
Wamenifungia hii huduma mpaka niilipie,,,,,ni wapi niende nikalipie,,??nifahamisheni tafadhali!!
Nishafanya ivo mkuu na bado inanipa text kua lazima niilipie $0.99
Sasa sielewi inalipiwa wapi
Ku uninstall hiyo appl sio solution sahihi maana identification inafanyika kwa sim card hivyo hata kama utaweza kuuninstall halafu unatumia number ile ile itakuwa ni kazi bureee labda ubadilishe sim card nyengine kama unataka tumia ile ile unabidi ulipe tuuu.
Ingawa najua umepata mwanga labda niongeze haya yafuatayo na fuata maelekezo haya: Unaweza kununua hiyo app kama una bank account au namna nyingine yoyote ambayo inaweza kukuruhusu kununua online.
Njia rahisi ya kufanya kama unataka kuendelea kutumia hiyo free (trial version) ni kuitoa katika simu yako na kuweka upya. Jinsi ya kuitoa fanya hivi: Uninstall hiyo app, then reboot simu yako, kisha nenda tena PlayStore ku-download upya hiyo app. Cha msingi ni kuhakikisha unaiondoa kabisa, una-reboot simu yako. All the best.
Online payments, Visa card, MasterCard, pay pal etc. Uta uninstal na kuinstal Mara 100 haisaidii kitu, unless ubadilishe namba yako ya simu. Your trial version has been expired.
Habari zenyu wakubwa!!
Samahani.....kwa anaye fahamu anijuze hii huduma ya WHATSAPP inalipwa wapi??????
Wamenifungia hii huduma mpaka niilipie,,,,,ni wapi niende nikalipie,,??nifahamisheni tafadhali!!
Unalipia on-line mkuu kwa kutumia zile process za kufanya on-line transactions kama pay pal na visa cards.
Kila nikijaribu kuinstal inanipa text kua natakiwa nilipie $0.99
Mwenye ufahamu juu ya hili tafadhali
kama aliwahi kuitamburisha namba yake whatsapp na sasa muda wake umeisha hata aki download haitasaidia pengine abadilishe sim card .Hiyo hailipiwi bali inakuwa ime-Expire, hivyo unachotakiwa kufanya ni ku-Download upya katika simu yako kwenye Google. Ni hayo tu.