BusinessTZ
Member
- Apr 24, 2018
- 13
- 10
Husika na kichwa cha Habari
Naomba kuambiwa huduma ya Taaj Express Money Transfer inatolewa na Bank gani au taasisi gani ya fedha Tanzania?
Iko hivi kuna Rafiki yangu kanitumia kiasi cha pesa kupitia Huduma ya Taaj Money Express Transfer, nimejaribu kwenda ofisi za Western Union, wamesema hawaifaham hiyo Huduma, nimeenda Benki ya DTB kitengo cha Western Union, Money Gram na Express Money, pia wamesema hawaifaham hiyo Huduma ya Taaj Express Money Transfer.
Sasa najua humu JF kuna wabobezi na wataalam wa mambo mengi naomba msaada na Taarifa ya taasisi inayohusika na hiyo Huduma ya Taaj au Tawakal Express Money Transfer ili niweze kuchukua dollar Zangu wadau
Naomba kuambiwa huduma ya Taaj Express Money Transfer inatolewa na Bank gani au taasisi gani ya fedha Tanzania?
Iko hivi kuna Rafiki yangu kanitumia kiasi cha pesa kupitia Huduma ya Taaj Money Express Transfer, nimejaribu kwenda ofisi za Western Union, wamesema hawaifaham hiyo Huduma, nimeenda Benki ya DTB kitengo cha Western Union, Money Gram na Express Money, pia wamesema hawaifaham hiyo Huduma ya Taaj Express Money Transfer.
Sasa najua humu JF kuna wabobezi na wataalam wa mambo mengi naomba msaada na Taarifa ya taasisi inayohusika na hiyo Huduma ya Taaj au Tawakal Express Money Transfer ili niweze kuchukua dollar Zangu wadau