Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 332
Habari wana JF ,
Kwa wale wanaotumia huduma ya kukopa kupitia mishahara yao kwa njia ya simu kwa sasa huduma hiyo ya Salary Advance kupitia benki ya NMB imesitishwa. Haijajulikana kwa muda au kwa kudumu.
Kwa wale wanaotumia huduma ya kukopa kupitia mishahara yao kwa njia ya simu kwa sasa huduma hiyo ya Salary Advance kupitia benki ya NMB imesitishwa. Haijajulikana kwa muda au kwa kudumu.