Labda ufunguke zaidi ku-edit nini hasa???
Je unahitaji huduma ua editing kwa ubora na uharaka wasiliana na mwenye simu namba. 0712000998, beimaelewano.
Kama unashindwa kuedit sentensi yako moja tu hii utaedit kazi za watu kweli?
Umesoma sentensi yote kweli I quote ' mwenye simu namba 0712000998' ndiye anaeedit ameniomba nimuwekee tangazo. Amekwishaanzapigiwa simu na wahitaji. Asante.
c
kila la heri, isijekuwa simu zinauliza tu "muvi unaedit shngapi?", tangazo linatakiwa lijipambanue. kila la heri kwa "mhusika".
una edit barua za uchumba kazi auJe unahitaji huduma ua editing kwa ubora na uharaka wasiliana na mwenye simu namba. 0712000998, beimaelewano.
Ana delete maneno yasiyofaa hususan matusi. Halafu anakusaidia kupeleka hiyo barua postauna edit nini
Je unahitaji huduma ua editing kwa ubora na uharaka wasiliana na mwenye simu namba. 0712000998, beimaelewano.
Tafti zinaonesha watanzania sio kwamba tunashindwa kufanya vitu, ila tunashindwa kueleza kwa ufanisi vile tunavyoweza kuvifanya.
Katika hali ya kawaida atokee Mkenya aeleze bayana ana edit nn, kwa garama gani, kwa muda gani, kwa technlonolojia ipi na porojo mbili, tatu hivi unadhani kuna atakayekufikiria wewe na sentensi zako mbili ulizoshindwa kuzi-edit zikaeleweka?
Una edit nn ikiwa kuedit sentensi 2 ulizoziandika mwenyewe zinakushinda?
Proud of ur ability mkuu things aint easy that way.
Nadhani anatoa huduma ya ku delete[/QUOTE
Soma vizuri Tangazo usikurupuke. Wene shida wameshamcontact muhusika aliyenituma.
Kumbe uliyetumwa ndo tatizo anyway isiwe mbishi tangazo linatakiwa lijibu maswali ya msingi simu ni gharama nyingine ambazo mtu hatakiwa ku incur pasipo ulizima hasa kama tangazo limejitosheleza.