A
Anonymous
Guest
Bank ya CRDB tawi la LAPF Dodoma wahudumu wako taratibu sana, majibu yasiyo rafiki
Kwenye foleni inakaa masaa bila huduma, yapo madirisha manne ya huduma ila kwa muda mrefu ni dirisha Moja tu ndio linamuhudumu ambaye naye muda mwingi ingia Toka ingia Toka haeleweki anafanya nini
Vijana hizi ajira mnapozipata tendeeni haki achaneni na mambo ya vinjunja
Ushauri kwa uongozi kila tawi hasa haya makubwa kuwepo na msimamizi wa huduma ambaye atakuwa anasimamia uwajibikaji na utoaji wa huduma kutoka kwa watu wake
Tunaacha kazi tunakuja kushangaa bank.
Huu ni ujinga na unapaswa kukomeshwa.
Bank sio mahala pa starehe
Hakuna sababu ya mteja kukaa masaa mawili kwa kusubir huduma ndogo tu ya kuweka pesa
Haikubalikiiii
Kwenye foleni inakaa masaa bila huduma, yapo madirisha manne ya huduma ila kwa muda mrefu ni dirisha Moja tu ndio linamuhudumu ambaye naye muda mwingi ingia Toka ingia Toka haeleweki anafanya nini
Vijana hizi ajira mnapozipata tendeeni haki achaneni na mambo ya vinjunja
Ushauri kwa uongozi kila tawi hasa haya makubwa kuwepo na msimamizi wa huduma ambaye atakuwa anasimamia uwajibikaji na utoaji wa huduma kutoka kwa watu wake
Tunaacha kazi tunakuja kushangaa bank.
Huu ni ujinga na unapaswa kukomeshwa.
Bank sio mahala pa starehe
Hakuna sababu ya mteja kukaa masaa mawili kwa kusubir huduma ndogo tu ya kuweka pesa
Haikubalikiiii