Huduma bora kwa mifugo yako

Huduma bora kwa mifugo yako

mchau

Member
Joined
Nov 16, 2024
Posts
89
Reaction score
92
👉Habari za muda huu wafugaji, natumaini nyote ni wazima .napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako;

Huduma Bora kwa Mifugo:

1. Utoaji wa Dawa za Minyoo (Deworming):
- Kuzuia na kutibu minyoo ya ndani na nje.

2. Chanjo (Vaccination):
- Kuzuia magonjwa hatari kama chambavu, kimeta, kichaa cha mbwa, n.k.

3. Matibabu ya Magonjwa (Treatment):
- Tiba sahihi ya magonjwa ya bakteria, virusi, fangasi, na protozoa.

4. Uhimilishaji (Artificial Insemination):
- Kuboresha kizazi na kuongeza tija ya mifugo.

5. Lishe na Virutubisho (Nutrition & Supplements):
- Ushauri wa lishe bora, madini na vitamini.

6. Huduma za Upasuaji:
- Upasuaji wa hernia, kastration, usafishaji wa vidonda n.k.

7. Usimamizi wa Banda na Mazingira:
- Ushauri juu ya ujenzi bora wa mabanda yenye hewa na usafi.

8. Kukata kwato (Hoof trimming) na usafi wa mwili:
- Kuzuia magonjwa ya kwato na maambukizi mengine.

9. Ushauri wa Uzazi na Uzalishaji:
- Kuongeza mbegu, kupanga uzazi, kutunza wajawazito.

10. Kufuatilia na Kutembelea Mifugo (Farm visits):
- Tathmini ya afya na usimamizi wa mifugo mashambani.
👉Mahali (location) morogoro mjini.
Popote ulipo tunakufikia ujipatie huduma bora kwa mifugo yako
👉Kwa mawasiliano zaidi
0674740836
0792263640

Karibuni sana huduma bora kwa mifugo yako ili kuleta mafanikio Bora
Note.kuna offer ya kwa mteja wa kwanza
 
👉Habari za muda huu wafugaji, natumaini nyote ni wazima .napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako;

Huduma Bora kwa Mifugo:

1. Utoaji wa Dawa za Minyoo (Deworming):
- Kuzuia na kutibu minyoo ya ndani na nje.

2. Chanjo (Vaccination):
- Kuzuia magonjwa hatari kama chambavu, kimeta, kichaa cha mbwa, n.k.

3. Matibabu ya Magonjwa (Treatment):
- Tiba sahihi ya magonjwa ya bakteria, virusi, fangasi, na protozoa.

4. Uhimilishaji (Artificial Insemination):
- Kuboresha kizazi na kuongeza tija ya mifugo.

5. Lishe na Virutubisho (Nutrition & Supplements):
- Ushauri wa lishe bora, madini na vitamini.

6. Huduma za Upasuaji:
- Upasuaji wa hernia, kastration, usafishaji wa vidonda n.k.

7. Usimamizi wa Banda na Mazingira:
- Ushauri juu ya ujenzi bora wa mabanda yenye hewa na usafi.

8. Kukata kwato (Hoof trimming) na usafi wa mwili:
- Kuzuia magonjwa ya kwato na maambukizi mengine.

9. Ushauri wa Uzazi na Uzalishaji:
- Kuongeza mbegu, kupanga uzazi, kutunza wajawazito.

10. Kufuatilia na Kutembelea Mifugo (Farm visits):
- Tathmini ya afya na usimamizi wa mifugo mashambani.
👉Mahali (location) morogoro mjini.
Popote ulipo tunakufikia ujipatie huduma bora kwa mifugo yako
👉Kwa mawasiliano zaidi
0674740836
0792263640

Karibuni sana huduma bora kwa mifugo yako ili kuleta mafanikio Bora
Note.kuna offer ya kwa mteja wa kwanza
nisadie bwana daktari. ngombe wangu ameamka haoni tangu jana. Jicho moja lilikufa zamani. lililobaki asubihi anaona kurudi anatoa machozi, nikaweka hyo dawa... OCT 30% that very day, hamna kitu. Nikashauriwa niweka OPTCLOX, leo bado hajaona
 
nisadie bwana daktari. ngombe wangu ameamka haoni tangu jana. Jicho moja lilikufa zamani. lililobaki asubihi anaona kurudi anatoa machozi, nikaweka hyo dawa... OCT 30% that very day, hamna kitu. Nikashauriwa niweka OPTCLOX, leo bado

nisadie bwana daktari. ngombe wangu ameamka haoni tangu jana. Jicho moja lilikufa zamani. lililobaki asubihi anaona kurudi anatoa machozi, nikaweka hyo dawa... OCT 30% that very day, hamna kitu. Nikashauriwa niweka OPTCLOX, leo bado hajaona
Pole sana , njia nzuri unatakiwa umchome dawa penstrep na dexamethasone ratio 1:1 route ni subconjunctival unahitaji umakini sana kuepuka kumchoma jicho

Hilo zoezi la kumchoma linatakiwa lifanyike na daktari kwa sababu ni unahitaji umakini sana ndugu yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom