yaliyomoyamo
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 603
- 452
Habari zenu wakuu!
Kwa muda mrefu nimekuwa naomba ushauri kuhusu these brands of mobile phones.
Lakin naona bado sijaridhika vizuri leo nimeonelea nije rasmi kuomba ushauri kwa mwenye kuzijua vizuri hizi phones.
Capital yangu ni about 230,000 nimepanga kununu huawei y530 ile ya tigo au Tecno M5.
Huawei y530 Nasikia ni nzuri sema tatizo Nasikia ina stuck sana sababu ina ram ndogo 512 ram. je, ni kweli ina stucks sana au sound tu?
Tecno M5 ina 1gb of ram sema tatizo Nasikia hizi simu za mediatek sio nzuri pia screen colour yake iko verry poor 256k sio 6m
So naomben ushauri kati ya hizo brand mbili hapo, ipi ni bora?
Naomba tusilete ushabiki wa aina za simu wala tusikariri Majina, kwa wenye kuzijua au waliowahi kuzitumia nitashukuru zaidi kupata maoni yao.
Kwa muda mrefu nimekuwa naomba ushauri kuhusu these brands of mobile phones.
Lakin naona bado sijaridhika vizuri leo nimeonelea nije rasmi kuomba ushauri kwa mwenye kuzijua vizuri hizi phones.
Capital yangu ni about 230,000 nimepanga kununu huawei y530 ile ya tigo au Tecno M5.
Huawei y530 Nasikia ni nzuri sema tatizo Nasikia ina stuck sana sababu ina ram ndogo 512 ram. je, ni kweli ina stucks sana au sound tu?
Tecno M5 ina 1gb of ram sema tatizo Nasikia hizi simu za mediatek sio nzuri pia screen colour yake iko verry poor 256k sio 6m
So naomben ushauri kati ya hizo brand mbili hapo, ipi ni bora?
Naomba tusilete ushabiki wa aina za simu wala tusikariri Majina, kwa wenye kuzijua au waliowahi kuzitumia nitashukuru zaidi kupata maoni yao.