AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Je kuna uwezo wa kuiflash huko mitaani Samsung Galaxy Edge 6 iliyotoka hivi karibuni?Nitakudanganya kukwambia ninamiliki simu zote ila member wa family yangu wapo wenye iphone 6, note 4, p7, htc one nk na kama huyo mwenye p7 ndio kila kitu namfanyia mimi.
Hebu siku shika p7 halafu compare display na htc one au note 4. Njia rahisi ni kudownload picha moja kwenye simu zote tatu na nivizuri iwe picha ya ua au inayoonyesha anga ili ujue ni display ipi inaonyesha quality then mwenyewe utajua. Si kila kitu hadi uwe mtaalam wa simu ili kujua.