Huawei wako juu

Huawei wako juu

mambucha

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
279
Reaction score
160
Mimi ni mpenzi wa simu za android, nakiri kwamba huawei ascend P7 na mate 7ni mojawapo ya simu nzuri sana. Kwa wale wapenz wa huawei fungukeni experience zenu hapa
 
Ni nzur ukicompare na hz brand ndogo ndog like tecno,,,ila co kwa wakongwe kina LG,sonny,samsung,,,etc
 
Aliyewahi kutumia simu inaitwa 'kestrel from ee' ya huawei naomba atujuze ubora wake.
 
Huawei ni simu average hawajafika level za kina samsung sony lg htc ila wanajitahidi. Kitu kizuri nilichopenda kwa hawa jamaa ni emotion ui (user interface yake) imekaa kidunia yetu zaidi jamaa wamemodify mambo mengi sana kama vile kuieka mobile network juu kabisa kwenye settings.
 
Huawei za bei kubwa ni kali sana, hata zingine zinazidi ubora wa zile simu maarufu za android. Cha muhimu katika kulinganisha simu ulinganishe simu zinazoendana, sio unalinganisha Y200 na Note2. Simu kubwa za huawei hawatumii mediatek na hata material made, muonekano ni wa kivyao vyao.
 
Mm natumia iPhone 6 ndo mwisho wa matatizo zingine izo hakuna kitu


Huu ni mtanzamo binafsi, hakuna simu duniani ambayo ni mwisho wa matatizo,. Sema tu simu fulani imeniridhisha.

Kwa mfano mtu anayetaka kutumia double line, hapo je? Zipo hadi simu zenye projector lakini bado sio mwisho...

NI KURIDHIKA TU KWA MUDA hadi toleo lipya litapotoka.
 
Huawei za bei kubwa ni kali sana, hata zingine zinazidi ubora wa zile simu maarufu za android. Cha muhimu katika kulinganisha simu ulinganishe simu zinazoendana, sio unalinganisha Y200 na Note2. Simu kubwa za huawei hawatumii mediatek na hata material made, muonekano ni wa kivyao vyao.
Processor yao ya kirin mpya (930 kama sjakosea) imepitwa na snapdragon 810 na 808.

Tunaziita snapdragon ni failure mwaka huu je huawei anakuwa nani?

Kuna simu mbili tu zenye hadhi ya flagship ambazo ni s6 na iphone 6 zilizobakia chip zake ni weak sana.

Kwenye kirin huawei ame opt overclocked cortex a53 kama mediatek. Mimi naona huawei yupo vizuri kwenye low end simu kama y550 ni nzuri sana.
 
Ni nzur ukicompare na hz brand ndogo ndog like tecno,,,ila co kwa wakongwe kina LG,sonny,samsung,,,etc

Do u know huawei z the one of largest technology company in the world? Tell me wat z so special in sumsung o lg that huawei doesn't have. Nimetumia Samsung n iPhone , juc ni mind set yako kwani lg ana ukongwe gani kwenye smart phone.
 
Mm natumia iPhone 6 ndo mwisho wa matatizo zingine izo hakuna kitu

IPhone was able to position itself as the leader in classic 4ne and great design. But in terms of user interface ziko poor n store take kwa kibongo bongo wangapi wanaweza kutoa hizo dola tano tano Kununua application in apple store?
 
Huawei ni simu average hawajafika level za kina samsung sony lg htc ila wanajitahidi. Kitu kizuri nilichopenda kwa hawa jamaa ni emotion ui (user interface yake) imekaa kidunia yetu zaidi jamaa wamemodify mambo mengi sana kama vile kuieka mobile network juu kabisa kwenye settings.

Ni kipi ambacho hawajafikia?
 
Ni kipi ambacho hawajafikia?

1. Hawana processor ambazo ni top notch, kama exynos za samsung au A series za apple

2. Camera zao ni average hawana contract ambayo inawafanya wawe kipekee kama nokia pureview (toshiba na zeiss), apple (sony), samsung na isocell, nk

3.hawana display ambazo ni quality kubwa kama apple na retina, samsung na amoled, lg na oled nk wanatumia ips display za kawaida au tft

Ukija kwenye mic, speaker, na vyenginevyo yupo nyuma.
 
1. Hawana processor ambazo ni top notch, kama exynos za samsung au A series za apple

2. Camera zao ni average hawana contract ambayo inawafanya wawe kipekee kama nokia pureview (toshiba na zeiss), apple (sony), samsung na isocell, nk

3.hawana display ambazo ni quality kubwa kama apple na retina, samsung na amoled, lg na oled nk wanatumia ips display za kawaida au tft

Ukija kwenye mic, speaker, na vyenginevyo yupo nyumaUe.




1. Hawana processor ambazo ni top notch, kama exynos za samsung au A series za apple

2. Camera zao ni average hawana contract ambayo inawafanya wawe kipekee kama nokia pureview (toshiba na zeiss), apple (sony), samsung na isocell, nk

3.whawana display ambazo ni quality kubwa kama apple na retina, samsung na amoled, lg na oled nk " ips display za kawaida au tft

Ukija kwenye mic, speaker, na vyenginevyo yupo nyuma.

Umewahi k
 
1. Hawana processor ambazo ni top notch, kama exynos za samsung au A series za apple

2. Camera zao ni average hawana contract ambayo inawafanya wawe kipekee kama nokia pureview (toshiba na zeiss), apple (sony), samsung na isocell, nk

3.hawana display ambazo ni quality kubwa kama apple na retina, samsung na amoled, lg na oled nk wanatumia ips disp lay za kawaida au tft

Ukija kwenye mic, speaker, na vyenginevyo yupo nyuma.

Umewahi kutumia sumsung, iPhone n ukacompare o unarelly kwenye reviews?
 
Mimi ni mpenzi wa simu za android, nakiri kwamba huawei ascend P7 na mate 7ni mojawapo ya simu nzuri sana. Kwa wale wapenz wa huawei fungukeni experience zenu hapa
Nia na madhumuni makubwa ya Android OS ninkuwa huru na kumpa mtumiaji uwezo wa kufanya lolote na hardware yake..
Lakini hii imekuwa tofauti kwa Huawei ijapokua ni kampuni kubwa, ata bootloader Unlocking yenyewe imekuwa ngumu sana, vivyo hivyo ata support kutoka kwa developers imepungua hivyo kusababisha watumiaji ambao ni superuser kukosa custom ROM ambazo watumiaji wa simu nyingine wanazipata..
Sababu kama hii na nyingine kama immature processor za Kirin inaifanya Huawei kubaki kuwa kampuni kubwa inayojulikana kwa watu wengi wanaotumia midrange smartphone...
Lakini matumaini yapo baada ya Huawei kuanzisha dedicated premium brand ya Honor tutegemee kama wanaweza kuanza kutumia Qualcomm, Adreno GPU, Sony Camera Sensors, Gorilla Corning Glass protection, AMOLED Display panels za Samsung na kuibadili Android skin yao ya Emotion UI kuwa flat ili iendane na trend ya sasa ya graphics..
Mabadiliko hayo nadhani yataifikisha Huawei level za juu sana..
 
Umewahi kutumia sumsung, iPhone n ukacompare o unarelly kwenye reviews?

Nitakudanganya kukwambia ninamiliki simu zote ila member wa family yangu wapo wenye iphone 6, note 4, p7, htc one nk na kama huyo mwenye p7 ndio kila kitu namfanyia mimi.

Hebu siku shika p7 halafu compare display na htc one au note 4. Njia rahisi ni kudownload picha moja kwenye simu zote tatu na nivizuri iwe picha ya ua au inayoonyesha anga ili ujue ni display ipi inaonyesha quality then mwenyewe utajua. Si kila kitu hadi uwe mtaalam wa simu ili kujua.
 
Back
Top Bottom