Huawei vs tecno (which is the best smart phone ?)

Huawei vs tecno (which is the best smart phone ?)

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,410
Wakuu nataka kununua smart phone ya HUAWEI au TECNO lakini najiuliza ipi bora, kuhusu uimara na uwezo.

Nisaidieni wazoefu.
 
Huawei wana brands kama P6 au P7 ambazo ni high end phones sio kama hizi Y series.

Tecno nao hawako nyuma. Wana series ya Phantom kama Z au Tecno R7 nazo ni nzuri sana. Ata bei zao ni ghali.


Hatujui wewe una budget gani kwenye ili swala ili tujatibu ku recommend simu nzuri kati ya hayo makundi mawili. Uzuri wa Tecno na Huawei zipo simu kuanzia za Laki 1 hadi laki 7.
 
Nimeangali Ebay ni laki saba na nusu mpala nane
 
Mkuu sekret ,bei zetu ni zilezile wengi not more than laki na tisini na..alaf p6-7 zana tofauti gani na y?
 
alaf naona kama huawei ni mayai sana kuaribika kuliko tecno au mtazamo wangu?
 
Simu zote ni nzuri, ila tu tecno amekuwa na jina baya kutokana na historia. Lakini kama bajeti yako ni nzuri nunua Huawei P6 kwa high end smart phone. Endapo ni mtu wa kuangusha angausha simu, nunua techno phantom.
 
wakuu nataka kununua smart phone ya HUAWEI au TECNO lakn najiuliza ipi bora,kuhusu uimara na uwezo,nisaidieni wazoef.

Mkuu kama bajeti ni ya kawaida, angalia TECNO H7 iko vizuri. Around laki 3.
 
Let's go straight. Tuzungumzie simu mpya tu dukani sio second hand.

Kama budget yako ni arround 100k hadi 200k, nunua Ascend Y series especially y530 na y300.

Kama una 200k to 300k gi for Ascend G series especially G610s

Kama una uwezo zaidi cheki Huawei P6 kwa 500k

Tecno zipo nyingi sana. Yaani utashindwa wewe.
 
Back
Top Bottom