pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Fursa kwa Xiaomi
Afanyaje huyoFursa kwa Xiaomi
Uwezekano upo kwa njia ya Apk.Kuna baadhi ya Apps zinapatikana kupitia app store yao,yaani Huawei App Gallery,ambayo tayari inakuwa pre installed kama vile uonavyo kwenye hizo picha za mtoa post.Hivi haiwezekani kuweka google apps(mfano google maps,calender etc)?..
inamaana mtz utanunua hii simu uifanyie nini sasa!!!!!Hizo google services hazipo, mfn hizo fb, insta hazipo kwenye app store yao. Kwahy kwa walioko nje ya china, hizi simu kutumia ni changamoto
Ni kweli mkuu.Kumbuka kuwa Android ni open os kwa kila mtengenezaji wa simu.Anachokosa Huawei hapo ni GMS,yaani Google mobile services.Huawei kwa sasa anayo huduma ya kwake,yaani Huawei mobile services,HMS.Halaf nashindwa kuelewa hii imekaaje, maana ukiingia GSM arena kuangalia specs Kwenye platform OS, Main OS inaonesha wanatumia Android 10, japo sasa inakua modified na kuongezewa Huawei EMUI 10.1
Umekosea kidogo mkuu.Hapo open source ni hiyo engine,yaani Android Os.Hakuna Google play store.Ila wanayo store yao, Huawei App Gallery.Inawezekana sbb Google play ile ni open source,
Ila sasa sio recommended hasa kwa security issues.
Kwa Apps ambazo zipo kwenye store yao, yaani, Huawei App Gallery,updates unapata kama kawaida.Unaweza ukainstall Huawei App Gallery kwa njia ya Apk,kama simu yako sio Huawei na ukaangalia apps zilizopo.Mfano,kuna boomplay,vidmate,we chat,tiktok,Snapchat, Microsoft office, IMO,na zingine kibao.Athari ni kama kushindwa kupata uapdates ya hzo apps kama vile ungekua unatumia playstore kawaida...pia security yake ni ndogo kwa sababu sio official way ni unafanya sideload.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli.Ila App store ya kwao.Huawei si bado wanatumia operating system ya adroid ndy maana nahic hii ya P40 series wanaita adroid 10 based EMUI 10.1 na hawatumii hii ya kwao ya HarmonyOs.
Mbona yangu p20 pro bado inapiga kazi hadi leo.Hivi haiwezekani kuweka google apps(mfano google maps,calender etc)?..
Unapataje changamoto wakati njia ya Apk ipo?Hizo google services hazipo, mfn hizo fb, insta hazipo kwenye app store yao. Kwahy kwa walioko nje ya china, hizi simu kutumia ni changamoto
Yes Brother upo sahihi.Ni kweli.Ila App store ya kwao.
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Uitumie
Hiyo ilitoka kabla ya vikwazo havijawekwaMbona yangu p20 pro bado inapiga kazi hadi leo.
Product zote za google bado napata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama vile Nokia 9 pure view japo kuwa ni flagshipWatengenezaji wa simu siku hizi wananiudhi kwa kuweka makamera meeeeengi.
Kwani wakiweka kamera moja yenye hizo megapixel isingefanya kazi??
Wanaharibu hadi appearance ya simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu inayo rise ni kwenye security kuhusu simu yakoUnapataje changamoto wakati njia ya Apk ipo?
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Mkuu, hakuna usalama kwenye simu hata kidogo,tunajifariji tu.Ukweli ni kuwa faragha zetu wanapigia mihela kila uchwao.Kwa mfano, Facebook kuna usalama gani kule mkuu?.Ishu inayo rise ni kwenye security kuhusu simu yako
Mi nazungumza security ya simu na siyo personal securityMkuu, hakuna usalama kwenye simu hata kidogo,tunajifariji tu.Ukweli ni kuwa faragha zetu wanapigia mihela kila uchwao.Kwa mfano, Facebook kuna usalama gani kule mkuu?.
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Mkuu,kama ni usalama wa simu nina imani upo. Huawei hawajaanza kutoa simu leo.Kumbuka pia bado wanatumia Android.Kama Simu za Android zina usalama wa kutosha,basi hata hizi simu zinao.Kama simu za Android hazina usalama wa kutosha,basi hizi pia hazina.Mi nazungumza security ya simu na siyo personal security
Hiyo si ina google play store?Mbona yangu p20 pro bado inapiga kazi hadi leo.
Product zote za google bado napata.
Sent using Jamii Forums mobile app