Hivi haiwezekani kuweka google apps(mfano google maps,calender etc)?..
yah inawezekana kwa kutumia third part app,
Ninayo hapa apps kibao hazikubali..
Jf natumia kwa browser haikubali kupandisha Picha..
hizi Simu ni shida
Tafuta app inaitwa chatpatner install, ukishainstall, usilogin select reapir, itakuletea google service then unaselect activate sehem ya google utalogin atapata google playstore na app zake
Mchina mjanja mjanja tu..hata ukiwa na iPhone ukasema "Hey Celia" Siri anarespondNaona wameendeleza mchezo wao ku copy iOS. Hadi AI assistant wamemuita Celia “Siri”
Mchina anafeli sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ulivyoinstall ilikubaliNinatumia 9apps.
Nimrdownload Huyo chatpatner kwenye kuinstall imenirudisha kwa 9apps,
nakosea wapi?
Pia ilikuletea sehem ya kuligin kwenye googke servive,. Na ilitakiwa baada la login hii kwenye play service urestart simu, bila hivyo haikubali
Naona haujanielewa,Pia ilikuletea sehem ya kuligin kwenye googke servive,. Na ilitakiwa baada la login hii kwenye play service urestart simu, bila hivyo haikubali
Chat patner umedownload WapiNaona haujanielewa,
Baada ya kudownload Hiyo chatpatner nimeclick kuinstall,
Ikanirudisha kwenye 9apps na kufungua 9apps,
Kiufupi Hiyo chatpatner haijafunguka inaniredirect kwa 9apps
ucbrowserChat patner umedownload Wapi
Nadhani kanielekeza vyema Ila Mimi nimetulia browser iliyo ndani ya 9apps..
Wana install mkuu ila sijajua side effects zake..kwa sasa wanatumia app store yao, na features za google play store hazipo
Kama unatelegram nikutumie ina mb 147. O link udownloadNadhani kanielekeza vyema Ila Mimi nimetulia browser iliyo ndani ya 9apps..
sasa njia nyingine ya kudownload Hiyo chatpatner ndo inanitatiza
Hizo google services hazipo, mfn hizo fb, insta hazipo kwenye app store yao. Kwahy kwa walioko nje ya china, hizi simu kutumia ni changamotoJe whatsapp,facebook,instagram vinapatikana?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Wachina hawakwepeki popote ulipoWachina bwana, usikute wameshapachika virus vya gonjwa lingine hapo. Kuanzia January sitaki tena kutumia vitu vyao.