Shaffin Simbamwene, lets say haziwezekani kufungua sawa. Mimi nina swali, hizo modem zinatumika na mobile networks za tanzania (Zantel, Sasatel, .. ) ambapo watu wanasema kuwa bongo hamna technology ya CDMA ila iko ya GSM.
Zantel na Sasatel wanatumia CDMA au GSM?