New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,595
- 3,224
Usikute unatumia Ascend sijui mate 7Kwasasa hiyo simu labda inaweza ikawa ni nzuri kwa wachina wenyewe. Lakini kwa nchi zingine hiyo simu msishoboke nayo kukununua. kwa sababu hiyo simu bado ina tatizo.
Kwa sababu huawei baada kuziiwa na google kutumia system ya android walikuja na system yao inaitwa harmonyos sasa hiyo system inapungufu mengi sana.
Kwanza hiyo simu hauwezi kudownload vitu vingi na hata vile unavyo vidownload baada ya miezi mitatu vinafutika.
Hebu katafute walau P50 halafu urudi kutoa mrejesho