B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,572
- 3,251
Waku habari,za mida hi,kuna hu ugonjwa umenitokea kwenye kanyagio la mguu na miaka zaidi ya kumi,nimeenda hospt ila siku pata dawa ya kunifaa,sijui ni ugonjwa gani?niliwai ku geogle wakaniambia unaitwa deadskin...unanipa.maumivu sana nikikanyaga tyriz au sehemu ya baridi...