Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,547
- 28,493
Ulanzi si maji.
Na ukiutwika kisawasawa, simba utamwona kama paka tu.
Na kwa uhakika utamwambia hata huyo simba " Gerra raa hia!"
Siku ya pili ndo unajiuliza, hivi nilisemaje vile?
Tanzania Distilleries asante kwa kinywaji chenye pawaa!!
Za chinichini
