Tetesi: "Hu arr yuu"- kumbe ilikuwa nguvu ya mshika bomba la daladala!

Tetesi: "Hu arr yuu"- kumbe ilikuwa nguvu ya mshika bomba la daladala!

In a mlevi konki voice, "Hu arr uh?, kwendrrrah zako"

Kufoka ukiwa umelewa ni raha sana. US unamuona kama Somalia.
😆😆🤣🤣 Hiyo ya kuiona USA kama Somalia imenikumbusha mbali. Siku moja baada ya kulewa nikataka niombe pambano kwenye bar moja hivi dhidi ya Japhet Kaseba, yule mkali wa judo na karate. Aisee pombe hizi!
 
Watu wamechoka sana mzee maza kazingua mno
Hata yeye Samia moyoni mwake anajua kazingua, uwezo wake ni mdogo sana kuongoza hii nchi.

Kiburi, ufisadi, ulevi wa madaraka ndio unamfanya anganganie madaraka.

Alaaniwe Kikwete aliyempendekeza kuwa Makamu akijua uwezo wake mdogo, Hussein Mwinyi asingetufikisha hapa.
 
Hata yeye Samia moyoni mwake anajua kazingua, uwezo wake ni mdogo sana kuongoza hii nchi.

Kiburi, ufisadi, ulevi wa madaraka ndio unamfanya anganganie madaraka.

Alaaniwe Kikwete aliyempendekeza kuwa Makamu akijua uwezo wake mdogo, Hussein Mwinyi asingetufikisha hapa.
Kuna watu anawalinda ndo wanamcost
 
Hata yeye Samia moyoni mwake anajua kazingua, uwezo wake ni mdogo sana kuongoza hii nchi.

Kiburi, ufisadi, ulevi wa madaraka ndio unamfanya anganganie madaraka.

Alaaniwe Kikwete aliyempendekeza kuwa Makamu akijua uwezo wake mdogo, Hussein Mwinyi asingetufikisha hapa.
JK hachomoi!
 
JK hachomoi!
Jamaa mtu wa ajabu sana. Taifa linapitia moja ya changamoto kubwa tangu lianzishwe yeye yupo kimya.

Angekuwa mzee mwenye hekima, busara, utu, kujali haki, amani angetoa neno kukemea mauaji yaliyofanyika kama wazee wenzake Warioba, Thambo Mbeki, Ian Khama, Cyril Ramaphosa, Antonio Guterres.
 
Uyu mama hasipo thibitiwa kabla 2030, kuna hatari wa kumuweka mtu wa ajabu kwa njia ya mtutu kama ilivyo sasa ili kulinda maslai yake na familia yake.
 
Jamaa mtu wa ajabu sana. Taifa linapitia moja ya changamoto kubwa tangu lianzishwe yeye yupo kimya.

Angekuwa mzee mwenye hekima, busara, utu, kujali haki, amani angetoa neno kukemea mauaji yaliyofanyika kama wazee wenzake Warioba, Thambo Mbeki, Ian Khama, Cyril Ramaphosa, Antonio Guterres.
Jakaya=Samia
 
Back
Top Bottom