Kalunde James
Member
- Mar 29, 2014
- 76
- 7
Big IQ... Chief mkwawa alishasema hawezi kumshauri mtu anunue simu zenye MEDIATEK CHIP.
Maana hazina ubora na matatizo mengi
Na tecno ndo wapp kwenye chip hizo
MEDIATEK CHIP ndo nn mkuu!!!
Big IQ... Chief mkwawa alishasema hawezi kumshauri mtu anunue simu zenye MEDIATEK CHIP.
Maana hazina ubora na matatizo mengi
Na tecno ndo wapp kwenye chip hizo
kitu tecno wewe. mi natumia kap5 kangu wala sina shida na ma htc yenu !
acha kudanganywa, hivi tecno ni yakuCompare na htc,
tecna bado mchanga sana ucdanganyike hata kama tecno ana kitkat na htc ana 4.0
chkua htc kwa ushaur wangu wenye uzoef.
MEDIATEK CHIP ndo nn mkuu!!!
Kwa sababu nimesha tumia baadhi ya hizo hasa kwa matumizi yangu zika ni disappoint mf. Samasung, na LG bt toka nime anza kutumia phantom pad sijawahi kujilaumu hasa kwa matumizi yangu hakuna kuheat ,na charge atlist inakaa tofauti na hizo za awali.
U prove nini mkuu?
Maana naona SIMU nyingi tu za kisasa hasa hizi kampuni kongwe kama Alcatel zinatumia chip ya mediateq ingawa unaziona taka taka but zipo poa sana...
Alcatel inspire 2
Mkuu Hii ulinunua bongo? Kwa bei gani?
kwaanza nikusahihishe alcatel walishaacha kuuza simu zamani tu wamelicence jina kwa kampuni ya kichina inaitwa tlc kama sijakosea hivyo sio ile kampuni kongwe unayoijua wewe iliotengeneza hio simu.
tuje kwenye mada sasa nimegoogle chip yako inaitwa MT6575 ni single core cortex a9, inakuja na android 4.1 jellybean bila update yoyote. so kaka nakupinga hujapata update prove kwa kutuma about page tuoneshe kitkat yako au hata atleast android 4.3 au 4.2
na ukitaka kujua chip za mediatek ni nuksi simu hazitofautiani angalia hii simu ya lg utafkiri simu yako imepigwa photocopy each and everything vinafanana
LG Optimus L5 II E460 - Full phone specifications
Kwa sababu nimesha tumia baadhi ya hizo hasa kwa matumizi yangu zika ni disappoint mf. Samasung, na LG bt toka nime anza kutumia phantom pad sijawahi kujilaumu hasa kwa matumizi yangu hakuna kuheat ,na charge atlist inakaa tofauti na hizo za awali.
Niliichukua posta opposite na duka la sapna kwa tshs. 510,000/=