HT: BRAZIL 1 - 0 ARGENTINA

HT: BRAZIL 1 - 0 ARGENTINA

wajinga wa argentina wanafanya messi anaumia roho ma mashabiki wake tunaumia asee..yani messipaka afate mpira katikati ya uwanja...messi daiv ilitakiwa apunguziwe majukumu maana akili inataka ila mwili hautaki
 
Waingereza sijui kama sio Wachawi!! Laana ya Goli la Mkono la Diego Maradona mpaka leo inawatafuna Wa-agentina.
 
Yani hii ni shida!
Argentina yenye Messi, Aguero na Dybala inafungwa na Brazil yenye forward Jesus na Firmino???? Stupid.

Nahisi chama cha soccer cha Argentina ni sawa na TFF ya Tanzania.

Manake kwa kikosi chao kilichoshiriki World Cup 2018 hakikuwa na sababu ya kukosa Kombe.
 
Yani hii ni shida!
Argentina yenye Messi, Aguero na Dybala inafungwa na Brazil yenye forward Jesus na Firmino???? Stupid.

Nahisi chama cha soccer cha Argentina ni sawa na TFF ya Tanzania.

Manake kwa kikosi chao kilichoshiriki World Cup 2018 hakikuwa na sababu ya kukosa Kombe.
Jesus yuko kwenye kiwango sana kwa mashindano haya naona ina mzarau sana
 
Brazil kwa sasa ina kikosi kizuri, ukiangalia kikosi kinachoanza na wale walio sub tofauti ya viwango ni ndogo.
Mfano;
Alison vs Ederson
Casemiro vs Fernandinho
Everton vs Willian
Marquinhos vs Miranda
G. Jesus vs Richarlison
Hapo bado kina David Neres, Filipe Luis, Allan n.k
Pia kwa sasa wamefanikiwa kuwa na chemistry nzuri, wanacheza kama timu.
 
Brazil kwa sasa ina kikosi kizuri, ukiangalia kikosi kinachoanza na wale walio sub tofauti ya viwango ni ndogo.
Mfano;
Alison vs Ederson
Casemiro vs Fernandinho
Everton vs Willian
Marquinhos vs Miranda
G. Jesus vs Richarlison
Hapo bado kina David Neres, Filipe Luis, Allan n.k
Pia kwa sasa wamefanikiwa kuwa na chemistry nzuri, wanacheza kama timu.
Nilichofurahi ni kupunguza over dependence kwa Neymar
 
Back
Top Bottom