Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,527
- 37,943
Kanaweza kakajinyongaLeo katalia sana wakifungwa,wajitahidi wasawazishe na washinde.
Ka messi huwa nakakubali sana
Shida timu ya taifa !!
Kanaweza kakajinyongaLeo katalia sana wakifungwa,wajitahidi wasawazishe na washinde.
Na hivi Ronaldo kabeba ndoo na team yake ya taifa. Ndo kataumia zaidi. Basi Ronaldo leo kwakujidai atapost picha akiwa na kombe la UEFA league of nations.Kanaweza kakajinyonga
Ka messi huwa nakakubali sana
Shida timu ya taifa !!
Brazil wa kawaida sana Atmosphere ya mashabiki na Home advantage inawabeba sana Labda CHILE atolewe na PERU vinginevyo kwa mpira huu Brazil hamfungi Chile.Egypt nao mtasema hivyo hivyo.
Mechi ina tension hii,refa kazi anayo.
Hahaha na ye atapost akiwa kabeba la ligaNa hivi Ronaldo kabeba ndoo na team yake ya taifa. Ndo kataumia zaidi. Basi Ronaldo leo kwakujidai atapost picha akiwa na kombe la UEFA league of nations.
Nipe statics za mechi mkuu
.Nipe statics za mechi mkuu
Shemeji ako aligoma kabisa mi kuwasha tv
Et nawapigia watoto kelele
Aah mkuu hawa wanawake acha tu !
Messi without his barca team matesHonedtly coach wa Argentina ndio wa kulaumiwa. Anawaacha Dybala na Di Maria bench kny mechi muhim kama hii.
Messi analaumiwa bure tu, maana hata achezeje, hana support kabisa. Leo muda mwingi amekua akienda kupokea mipira kutoka kwa mabeki kwenye nusu uwanja ya argentina!
I think it's high time he retires from this team!
Sasa Ronaldo anakujaje hapa?! Come on, be fair to Messi, his national team organisation is just disastrous!Hapa namsubiri Messi ahojiwe,sijui kama atakubali kuongea na waandishi. Ronaldo oyeeee.
Kadogo kaache janja janjaMwambieni Messi wahuni sio watu wazuri..:
Kabisa. Ila wametuonesha mtanange wa moto sana. Ilikuwa kama ndo final.Kweli kabisa wangecheza mpira tu bila uhuni wao timu zote mbili ingekuwa mechi bomba sana.