HR aliyepo Dodoma anahitajika

HR aliyepo Dodoma anahitajika

Watu mnaoleta matangazo ya kazi jitahidi mueleweke taja vigezo taja na mshahara
 
Leteni mrejesho basi Wakuu mbona kmy tena?
 
Leteni mrejesho basi Wakuu mbona kmy tena?
Bado tupo kwenye uchambuzi wa cv zilizotufikia mana n nyingi sana pamoja na ya huyo jamaa hapo juu anayetaka mshahara wa 3M japokuwa mshahara halisi ni laki mbili unusu ila amesema yupo tayari kufanya kazi kwa moyo mkunjufu kabisa 😎

Siku sio nyingi tutawaita kwenye usaili 🔥
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom