IzukeneJr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 758
- 753
Ipo kwenye hali nzuri sana (Imetumika kwa miezi 3 tu). Bei yake dukani ni Tsh 700,000+ lakini nitakuuzia kwa Tsh 500,000 (No bargaining).
Specification:
Ina uwezo wa kutoa copy, scan na kuprint kwa speed kubwa sana.
Ina uwezo wa kutoa copy za rangi kwa speed kubwa.
Ina uwezo wa kuprint kutokea kwenye simu (Via Network)
Ina ubora mkubwa sana wa picha
Ilinunuliwa kwa ajili ya matumizi ya ofisini lakini ofisi imefungwa. Mwenye uhitaji please check me Via 0674 760 572
Specification:
Ina uwezo wa kutoa copy, scan na kuprint kwa speed kubwa sana.
Ina uwezo wa kutoa copy za rangi kwa speed kubwa.
Ina uwezo wa kuprint kutokea kwenye simu (Via Network)
Ina ubora mkubwa sana wa picha
Ilinunuliwa kwa ajili ya matumizi ya ofisini lakini ofisi imefungwa. Mwenye uhitaji please check me Via 0674 760 572