Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,758
- 156,821
Amesema scania 143 hp 450Scan
Scania 450 ni ikoje mkuu kali sana au
Amesema scania 143 hp 450Scan
Scania 450 ni ikoje mkuu kali sana au
Mkuu 112 umeshaziona njiani ngapi?Mkuu kwa mtazamo wako gari ipi nzuri?? 112 vipi
Kibao tuMkuu 112 umeshaziona njiani ngapi?
Sio kweli mkuu, hizo ulizoziona zitakuwa za towntrip tu tena za madina hapo darKibao tu
No,I mean 113Sio kweli mkuu, hizo ulizoziona zitakuwa za towntrip tu tena za madina hapo dar
Ok sawa mkuuNo,I mean 113
So unanishauri nini mkuuOk sawa mkuu
Tafuta scania 124 safi ijali vizuri itakurudishia fadhila na hautawaza tena habari za howo.. Ukiweza kununua truck huwez kuwaza eti howo sijui inanusa mafutaSo unanishauri nini mkuu
Achukue R 500 NDIO MWISHO WA MATATIZOTafuta scania 124 safi ijali vizuri itakurudishia fadhila na hautawaza tena habari za howo.. Ukiweza kununua truck huwez kuwaza eti howo sijui inanusa mafuta
Achukue R420 hapa Tanzania zimekuwa nyingi na zinapiga kazi vizuri na spea zinapatikana kwa urahisi.Achukue R 500 NDIO MWISHO WA MATATIZO
124 ya mtumba kutoka ulaya imekua adimu sana ndo maana siku hizi watu wanajilipua na R420, ni ghali sana kuitengeneza ikiharibika lakini ufanisi wake pia unashawishiTafuta scania 124 safi ijali vizuri itakurudishia fadhila na hautawaza tena habari za howo.. Ukiweza kununua truck huwez kuwaza eti howo sijui inanusa mafuta
MhhAchukue R 500 NDIO MWISHO WA MATATIZO
Hilo Ni wazo NZURI SANA SI KUNA CHUO CHA KUJIFUNZIA UDEREVA CHA TAIFA ITABIDI APELEKWE KABLA HAJAANZA NA APELEKWE KULE KARAKANA YA SCANIA DARESALAAM KWA MAFUNZO ZAIDI .Mhh
R500 inahitaji upate dereva wa kukuendeshea, sio kila dereva anaiweza hiyo,
Mkuu V8 inataka nidhamu ya juu sana si kwa dereva wala tajiri, la sivyo utafilisikia hapo, ni somo refu sana kuielezea V8 na matatizo yake , ila ukifanikiwa kuimudu v8 hutotaka kuendesha au kumiliki gari nyingine yoyote.
Mosi Kwanza kabisa mafuta , 113 Ni heavy on fuel ,kwa kazi yoyote ile sijui labda basiMkuu hebu nipe hasara ya 113
Mkuu you're a professional.
Nimekuelewaaa saaanaaa.Mhh
R500 inahitaji upate dereva wa kukuendeshea, sio kila dereva anaiweza hiyo,
Mkuu V8 inataka nidhamu ya juu sana si kwa dereva wala tajiri, la sivyo utafilisikia hapo, ni somo refu sana kuielezea V8 na matatizo yake , ila ukifanikiwa kuimudu v8 hutotaka kuendesha au kumiliki gari nyingine yoyote.
320 HP ni balaa zipo zinadundaKama una anza nunua Scania 113.
Huo ni mkataba!
Mzigo inaobeba howo scania ikasome.Hivi hizi HOWO zina nguvu ya kuvuta mzigo kweli au madereva wake huwa wanafanya mapozi wakati wanapanda milima ?maana huwa nazipita kama zimesimama barabarani...