ndio refa bora uingereza kwa sasa, na ndie aliechezeshpa mechi ya fainali ya kombe la dunia mwaka 2010 kati ya hispania na uholanzi. Kama kuna mtu anabisha simshikii bakora. Nahisi huyu refa atarithi mikoba ya yule refa kipara mtaliano, pierlug collina.
wivu wa kike hamkuona kuna sehemu mpira ulimfikia miguuni akaucheza na kumpasia mchezaji wa chelsea acheni hizo mlikuwa mfungwe shukuruni sana mmeponea chupichupi kufungwa!!!
umelogwa kweli mpwa unajua huyu ni takataka kuliko wote uk
unataarifa alitoa kadi 3 zanjano bila kumtoa mtu nje
usiniulize wapi kama unadata zake means na hiyo unayo
rekebisha usemi
umelogwa kweli mpwa unajua huyu ni takataka kuliko wote uk
unataarifa alitoa kadi 3 zanjano bila kumtoa mtu nje
usiniulize wapi kama unadata zake means na hiyo unayo
rekebisha usemi
Howard ni Manure damu!
wivu wa kike hamkuona kuna sehemu mpira ulimfikia miguuni akaucheza na kumpasia mchezaji wa chelsea acheni hizo mlikuwa mfungwe shukuruni sana mmeponea chupichupi kufungwa!!!