HOWARD WEBB kuchezesha Real Madrid vs Dortmund

HOWARD WEBB kuchezesha Real Madrid vs Dortmund

Kweli Madrid kapaniwa atoke, sipati Picha Mourinho atakavyokuwa ktk hiyo mechi.
 
As far as hatuchezi na Man U nina imani na Webb labda haki itatendeka, yule refa wa mechi ya kwanza alikuwa analazimisha matokeo ya Barca na Madrid yafanane, hakuwa na sababu yoyote ya kutoa penati nyepesi kwa Dotmund wakati tayari wanaongoza goli tatu, hata mazingira ya goli la pili yana walakini.
 
As far as hatuchezi na Man U nina imani na Webb labda haki itatendeka, yule refa wa mechi ya kwanza alikuwa analazimisha matokeo ya Barca na Madrid yafanane, hakuwa na sababu yoyote ya kutoa penati nyepesi kwa Dotmund wakati tayari wanaongoza goli tatu, hata mazingira ya goli la pili yana walakini.
Duu kweli kupenda kuna mambo..!
 
kufa kupo pale pale tena mtamkumbuka yule maana huyu howard webbunited12 anajuaga akili zake mwenyewe..
 
Webb chizi yule. Akili zake zamtosha mwenyewe.
 
Webb atasimama pale kati stantiago bernabeu tashuhudia ronaldo akipiga hat-trick nakuipeleka madrid final

Kuna uwezekano Cristiano Ronaldo asiwepo siku hiyo...ana injuries
 
Webb atasimama pale kati stantiago bernabeu tashuhudia ronaldo akipiga hat-trick nakuipeleka madrid final

alichezesha WORLD CUP FINAL na CHAMPIONS LEAGUE FINAL.....why???because he is EXCELLENT....otherwise hata EUFA na FIFA nao ni man utd!!!?kama anapendelea kiasi cha amateurs huku mitaani kuona FIFA au EUFA wangeliona hilo wasingemchagua kuchezesha mechi zao kubwa kuliko zote.......
 
Yule mtu atamalizia machungu yake ya Man U kufungwa na Madrid Kwenye Mabingwa...huyo ni Mchezaji Mtiifu wa Man U...

Yote kwa Yote iHalaMadrid!!TUTASHINDA

Sent from BlackBerry
 
Waspain hawampendi Webb na wameponda uteuzi wake lakini cha ajabu Mourinho na Ronaldo wamemsifu Webb.

Mimi kama mshabiki wa Real Madrid nadhani we couldn't ask for a better a referee zaidi yake. Kwanza atakua anataka kuprove something kwa Waspain, halafu cheap decisions kama ile penalty ya Lewandosky hutaziona ila mwisho wa siku is not about the referee, ni wachezaji ndio watakaoamua matokeo, nidhamu yao, kujituma, kujitoa kupambana bila kukata tamaa and of course a bit of lucky.

Hala Madrid!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom