Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
kweli tumuache,ila amini usiamini kuanzia kesho hadi keshokutwa mimi nina uhakika matusi,kashfa na dharau zitapungua humu,kutakuwa kimya.
Na mamluki waliojitokeza kuwa washabiki wa wakoloni, watajitaliki wenyewe!